Mahusiano
Tukumbuke kwamba kinyume cha beba ni shusha, na kinyume cha kusanya ni tapanya, basi ukishindwa kumuhendo mwanamke vizuri kwa upendo na uaminifu mkubwa basi wewe mwenye utakuwa umejitengenezea jehanamu.
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
Hii Ndio Nguvu Aliyobeba Mwanamke.
A - Pale mwanaume anapompa mwanamke mbegu, mwanamke humpa mwanaume mtoto.
B - Pale mwanaume anapompa mwanake nyumba, mwanamke uifanya nyumbani.
C - Ukimpa mwanamke bidhaa za shambani yeye anakutengenezea chakula
D - Ukimpa maneno machache yeye anakutengenezea sentensi nzima
E - Ukiamua kumchanganya akili yake kidogo tu yeye anaweza kukuvurugia maisha yako yote, ila ukimpa furaha kidogo yeye atayafanya maisha yako yawe paradiso.
Kwahiyo tusilaumiane.
Share na Marafiki Pia
Share na Marafiki Pia
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment