Sunday, 16 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya mambo mengine ili uyajue baadae

Related image

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

Mama: Hapana mwanangu sijakuona.

Mtoto: Kwahiyo ulivyonizaa ulijuaje kwamba ni mimi…!??

😁😁😁😂😂😂

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4