Vichekesho
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya mambo mengine ili uyajue baadae
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?
Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
Mtoto: Kwahiyo ulivyonizaa ulijuaje kwamba ni mimi…!??
😁😁😁😂😂😂
Previous article
Leave Comments
Post a Comment