Simulizi
WRITER………………………………………………………………..EDDAZARIA G.MSULWA
*********************
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio kama saa ya kichina, huku jasho jingi likinitoka na kulowanisha shati langu la mtumba nililo linununua juzi juzi mitaa ya karume kwenye sagura sagura, huku mwili nao ukishindwa kuzuia wasiwasi nilio nao unao onekana dhairi kwenye sura yangu. Nesi akafungua mlango wa chumba ambacho ndipo mama yangu aliingizwa nilipo mleta baada ya kuugua gafla ugonjwa ambao kwa elimu yangu ya darasa la saba wala siuelewi unaitwaje kwani ndio mara yangu ya kwanza kumuona akiwa katika hali kama hiyo iliyo nistaajabisha.
"Wewe ndio uliye mleta huyu mama humo ndani?"
"Ndio nesi"
"Anakuita"
Nikanyanyuka kwa haraka na nikaingia ndani ya wodi, huku nikiwa na shauku ya kujua nini alicho niitia mama kwani tangu nyumbani alikuwa akikoroma kama mtu anaye kata roho huku mapovu yakimtoka mdomoni. Nikamkuta mama amelazwa kwenye kitanda huku kando yake akiwemo dokta mtu mzima wa makamo akiwa amesimama, mikononi mwake akiwa amevalia gloves nyeupe kwa kuchanganyikiwa wala sikukumbuka kumsalimia daktari huyo aliyekuwa akinitazama tangu ninaingia mlangoni.
"Eddy mwa…..nangu nata……ka nikutume."
Mama alizungumza kwa sauti ya kukata kata, kama redio inayo poteza freguency huku akijitahidi kuweka tabasamu katika sura yake ambayo siku zote nimezoea kuiona ikiwa na furaha.
"Wapi mama yangu?"
"Kwa mama Caro kule Mbezi beach si unapakumbuka?"
"Ndio ninapakumbuka, mama nikamwambije?"
"Mwambie aje kuniona"
Nikamtazama mama kwa macho makali ya kumchunguza nikagundua kuwa hali yake ni mbaya ila ana jilazimisha kuzungumza na mimi ili kunirithisha tu. Nikatoka bila kuaga huku nikivaa ndala zangu vizuri zinazo chomoka chomoka mikanda yake. Kabla sijatoka katika kordo ya hospitali kuna dada akanigusa mkono na ikanibidi nimtazame
"Kaka unaitwa na yule dokta"
Nikageuka ninapo toka nikakuta yule dokta aliyekuwa wodini amesima. kwa ishara ya mkono akaniita na nikaanza kupiga hatua za haraka kwenda kumfwata .
"Naam dokta"
"Ina bidi ufanye haraka kwani ugonjwa wa mama yako unahitaji kuwahiwa la sivyo tutampoteza"
"Sawa dokta ila mama anaumwa na nini?"
"Anaumwa na ugonjwa wa moyo pamoja na kisukari"
Moyo ukanipasuka nikajikuta nikichomoka kama mshale na kuanza kukimbia kwa kasi huku ndala nikizishika mkononi kwani kwa jinsi zinavyo chomoka chomoka mikanda yake nikahisi zitanichelewesha kufika katika eneo nililoagizwa na mama. Njia nzima sikusimama zaidi ya kuendelea kukimbia pasipo kujali watu wananichukuliaje, hadi nikafika kwa Mama Caro. Nikasimama kwenye geti kubwa la jumba la kifahari la mama Caro, kwa wenge nikajikuta nikigonga kwa kutumia lapa. Mlinzi akafungua huku akiwa ameshika mbwa mkubwa na mkali ambaye mara zote nikitumwa kwenye hilo jumba ninaishia getini kwa kumuogopa mbwa huyo anaye itwa Simba.
"Vipi tena Eddy mbona juu juu"
"Kaka Salimu wee acha tu mama Caro nimemkuta?"
"Ndio yupo ndani tena ameingia muda si mrefu"
“Mshikilie mbwa wako vizuri asije akaning’ata”
Nilizungumza huku jasho likinitiririka uso mzima. Nikaingia ndani nikiwa ninapiga hatua ndefu na za haraka hadi lango la kuingilia ndani ya jumba hilo ambalo ukubwa wake ninaufananisha na yale majumba makubwa ya wanaigeria katika filamu zao. Nikaminya kengele iliyopo mlangoni, nikasubiri kwa dakika kathaa mlango ukajifungua wenyewe sikustuka kwani unatumia umeme kujifungua wenyewe. Nikakutana na mama Caro akishuka kwenye ngazi za ghorofani nikamsalimia kwa unyenyekevu wa hali ya juu.
"Mama amelazwa hospitali anakuhitaji"
“Anatatizo gani?”
“Daktari ameniembia sijui ameniambia ana kisukari sijui na ugonjwa wa moyo”
Nilizungumza kwa kubabaika huku mapigo ya moyo yakinienda mbio sana.
"Mungu wangu…….!! Ngoja nichukue funguo ya gari ninakuja”
Akapanda gorofani na baada ya dakika kadhaa akatoka huku akiwa na funguo mkononi mwake. Tukatoka hadi nje, tukaingia kwenye gari lake aina ya RANGE ROVER SPORT ambayo kwa mara ya kwanza ndio ninalipanda na kuligusa katika maisha yangu, kwani nilizoea kuiona barabarani au kwenye television. Ndani ya gari ukimya ukatawala huku nikimuangalia mama Caro jinsi anavyo badilisha gia kadri ya jinsi ya mwendo kasi wa gari hili unavyo uongeza. Kwa mwendo kasi alio utumia wa tukafika hospitali haraka na kushuka kwenye gari, kwa mwendo wa haraka tukapitiliza hadi wodini aliyo lazwa mama. Hatukumkuta mama kwenye kitanda alicho lazwa wote tukajikuta tumepigwa na butwaa na nikazidi kuogopa huku moyoni wasi wasi ukizidi kunitawala. Akili yangu ikiaanza kuwaza mambo yaliyo mabaya, japo sikuhitaji kuweza kuyapa nafasi kwa muda huu. Tukaelekea hadi ofisini kwa dokta huku machozi yakianza kunilenga lenga.
"Dokta kuna mgonjwa wangu mnene wastani hivi alikuwa katika ile wodi ya wanawake yu….."
Dokta akamnyamazisha mama Caro kwa ishara ya kumnyooshea mkono huku akitutizama machoni kiumakini akiwa kama mtu anaye hitaji kuzungumza kitu ambacho tayari nilihisi si kizuri kwa masikio yanngu kuweza kukisikia kwa wakati huu.
"Kwanza niwape pole kutokana mgonjwa wenu…………hatupo naye tena duniani"
“Dokta unasemaje!?”
Nilimuuliza daktari kwa mshangao huku mapigo ya moyo yakinienda kasi kiasi kwamba nikahisi hali ya tofauti ikiutawala mwili wangu
“Mama yako amefariki dunia na hatukuwa na jinsi ya kufanya tulijitahidi kadri ya uwezo wetu ila ndio hivyo MUNGU amempenda zaidi”
Hali niliyo kuwa nayo ikanitawala zaid, nikahisi mwili ukikosa nguvu na kizungu zungu kikali kikanitawala mwili wangu na kujikuta nikiyumba mara mbili na kuanguka chini nikapoteza fahamu.
***
Nikazinduka huku nikiwa sielewi na wapi nilipo, nikatazama eneo zima, ila kumbukumbu kwa haraka hazikuweza kunijia. Kitu nilicho kihisi ni jinsi tumbo langu linavyo hisi njaa kali sana. Nikashusha tena pumzi na kuliangalia eneo hili vizuri, kumbu kumbu za mazingira niliyopo zikaanza kunifahamisha kuwa hapo nipo ni hospitali kutokana na kuliona dripu la maji lililoingia katika mkono wangu wa kushoto huku nikiwa nimelala kwenye kitanda kidogo chenye shuka jeupe. Nikaanza kupiga kelele za kuomba msaada, wakaingia manesi wawili na kuanza kunituliza na kurekebisha sindano ya dripu iliyo chomoka mkononi mwangu. Nikatuli huku nikibubujikwa na machozi mengi yaliyo lowanisha mashavu yangu.
"Nesi naombeni nikamzike mama yangu tayari nimesha pona"
"Kaka ni wiki moja imepita tangu uletwe hapa hospitalini kwetu"
"Na nani?"
"Na mama mmoja mnene kiasi na mrefu wa wastani"
Nikatambua atakuwa ni mama Caro ndio aliye nileta ikanibidi niwe mpole huku nikiomba Mungu mama Caro aje ili niweze kumuuliza kitu kinacho endelea juu ya mama yangu. Baada ya masaa mawili mama Caro akaja huku akiwa amebeba chakula kwenye mfuko. Nikamsalimi akaitikia akatoa vyombo vyenye chakula na kukiweka mezani kisha akaanza kukipakua, akaanza kunilisha chakula taratibu huku akinibembeleza niendelee kula. Kutokana na njaa kali sikuwa na jinsi nikaendelea kukila chakula cha mama Caro, japo mimi ni mwembamba ila nikazidi kuwa mwembamba. Nguvu za mwili wangu nikaisi zimeniishia kabisa, kutokana na kukaa siku kadhaa pasipo kupata chakula.
“Mama yangu yupo wapi?”
“Eddy mwanangu muda huu sio wa wewe kuhangaika na hilo swala cha msingi ni kuhakikisha hali yako inakuwa salama”
“Hata kama ila ni muhimu niweze kutambua ni wapi alipo mama yangu”
“Eddy mwanangu nitakuelezea kila kitu pale afya yako itakapo kuwa sawa ila kwa sasa ngoja tuwaulize madaktari juu ya hali yako inavyo endelea na kama kuna la ziada tujua nini cha kufanya”
Nikamuelewa Mama Caro, baada ya kumaliza kunilisha akatoka katika chumba nilichopo mimi na baada ya dakika kama tano akarudi akiwa amengozana na daktari. Wakasimama pembeni ya kitanda changu huku wote wakinitazama.
“Mama kijana wako hali yake inaendelea vizuri, ila itatulazima awe chini ya uangalizi mzuri wa sisi madaktari tukijiridhisha juu ya maendeleo yake basi tuweze kumruhusu kurudi nyumbani.”
“Itachukua kipindi gani cha yeye kuwa katika huo uangalizi wenu?”
“Kama wiki moja na nusu kwani tunahitaji tumuanzishie dozi ya vyakula maalum vitakavyo irudisha afya yake kama awali”
“Mwanangu Eddy umesikia jinsi dokta alivyo sema?”
“Ndio ila kwanini hhiyo dozi nikaofanyia nyumbani?”
“Kijana hilo halite wezekana kutokana bado afya yako haijakaa sawia”
“Eddy utapona mwangu”
Baada ya wiki moja nikaruhusiwa kutoka hospitalini huku afya yangu ikiwa katika hali ya kurudi kama mwanzoni japo si sana.Mimi na mama Caro tukatoka hospitalini na moja kwa moja tukaelekea kwenye maduka ya nguo na kutafuta nguo kadhaa ambazo ningezitumia katika maisha yangu mapya.Mama Caro akaninunulia vyakula vya kuiimarisha afya yangu.Tukaelekea nyumbani kwa mama Caro na haikuchukua mud asana kufika nyumbani kwake kwani tulitumia gari lake la kifahari aina ya Rengerove Sport ambalo kwa hapa Tanzania wanalo watu wachache sana hii nikutokana na kupatikana kwa harama kubwa.Mama Caro akanikaribisha kwenye seble yake yenye sofa zenye dhamini kisha akapanda gorofani kwake huku akiwa amelibeba begi langu lenye nguo nyingi kisha baada ya muda akarudi na kukaa kwenye moja ya sofa
"Eddy afya yako ikikaa sawa utakwenda kuliona kaburi la mama sawa mwanagu?"
"Sasa ila kwanini mumzike kabla ya mimi kujua?"
"Eddy hatukuwa na jinsi kwani wewe hatukujua kama utapona au laa kwani iliniladhimu nikupeleke hospitali ya gharama na yenye madaktari mashuhuri ili kuyaokoa maisha yako kwani hospitali ile aliyokuwa amelazwa mama yako niligundua haina uangalizi mzuri wa kukusaidia wewe"
Nikajikuta sina cha kuzungumza zaidi ya kusema asante kwa mama Caro huku akili yangu ikimkumbuka mama yangu.Mam Caro akaingia jikoni na akaandaa chakula na baada ya muda akaniomba nijumuike naye mezani kwa ajili ya kula.Tukaanza kula taratibu huku ukimya ukiwa umetawala hadi tunamaliza hakuna aliye msemesha mwenzake.Mama Caro akanionyesha chumba cha kulala nikamuaga na kuondoka zangu na kumuacha akiwa amekaa sebleni alitazama Tv.Kutokana na uchovu nikajitupa kitandani na usingizi mzito ukanipitia.Gafla nikaona watu wengi wakiwa wanalipiga mawe jeneza la mama yangu na wengi wao ni walevi walio kuwa wakija katika baa ya mbege ya mama iliyopo pembeni ya kajumba chetu cha makuti.Mmoja wao akanifwata na kunipa jiwe kubwa nimponde mama yangu la kichwa la sivyo wananiua kwa kunipiga kwa mawe.Mmoja akanishikisha jiwe hilo na kunilazimisha nimpige mama yangu
“Siwezi kumpiga mama yangu”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika kiasi kwamba wakaanza kunishambulia kwa ngumi na magongo huku wakinipiga mawe,Taratibu nikaangukia ulipo mwili wa mama yangu na kumlalia kifuani huku damu nyingi zikinitoka puani na mdomoni
“Mama na mimi ninakufa sina haja ya kuishi duniani…sina baba na wewe kwangu ndio upendo ulo bakia nakupenda sana mama yangu”
Mtu mmoja akanyanyua jiwe kubwa lenye ncha kali na kulishusha kwa kasi kubwa likielekea maeneo ya kichwani kwangu na kabla halija nifikia nikastuka usingizini huku nikipiga makelele nikiliita jina la mama yangu huku jasho jingi likinimwaika.Nikastuka mlango ukifunguliwa na mama Caro akaingia huku akiwa amevaa nightdress(gauni la kulalia) inayo muonyesha nguo yeke ya ndani na kuja kukaa kwenye kitanda huku mkononi mwake akiwa ameshika bastola
"Vipi Eddy mbona unapiga kelele?"
"Ni ndoto tu"
"Ndio unapiga kelele hivyo mpaka nikahisi kuna kitu kibaya kimekuvamia?"
"Nisamehe mama"
"Hakuna haja ya kuniomba msamaha Eddy unajua kwa hali uliyo nayo ya msongamano wa mawazo nilazima uote vitu vya ajabu ajabu"
“Ndio mama nakuomba unisamehe sinto rudia tena”
“SAWA EDDY WANGU”
Mama Caro akakaa pembeni yangu na bastola yake akaiweka kitandani na kunipitishia mkono kiunoni huku mkono wake mwengine akipapasa nywele za kifuani mwangu.Nikakohoa kidogo kumstua mama Caro ila hakustuka akazidi kuushusha mkono wake hadi tumboni kwangu
"Ma…..ma"
"Eddy tulia kidogo kuna kitu nataka nikuonyeshe"
Alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiuchukua mkono wangu na kuuweka juu ya maziwa yake makubwa kiasi na yenye ulaini uliofanya mwili wangu kusisimka
"Mi...mi naumw..a mama"
Nilizungumza huku mapigo ya moyo yakianza kunidunda taratibu na woga ukianza kunitawala.Mama Caro akaushusha mkono wake na kuuingiza kwenye suruali hadi kwenye koki yangu iliyo simama na kuanza kuiminya minya kama mtu anaye chagua embe tosa kwenye genge huku macho yake akiwa ameyafumba kwa hisia kali.Mama Caro akaitoa koki yangu nje nikamuona akiitazama kwa macho yenye uchu mpaka udenda ukamwagika akawa kama teja la madawa ya kulevya
"Ma....ma mi na....umwa mwenzio"
Niliendelea kujitetea huku sauti yangu ikaanza kunilegea kama gari linanopanda mlima huku ikikata kata mawasiliano na kwenye injini.Mama Caro akaanza kuichua koki yangu kwa viganja vyake vilaini mithili ya mtu anayeosha mchi wa kusukumia chapatti.Akaushika mkono wangu na kunishikisha kwenye kiuno chake chenye cheni mbili za gold.Kwa kuutumia ulimi wake akaanza kuninyonya masikio na kujikuta naanza kucheka cheka sikujua hata kinichekeshacho ni nini.Mama Caro akanilaza kitandani na kukaa juu yangu sikuamini kama mwili wake unaweza kukaa juu ya kimwili changu na wala sikusikia maumivu sehemu yoyote.Mama Caro akavua kanguo kake na akabaki na chupi yake yenye vimijikanda vidogo(bikini).Koki yangu akaizamisha mdomoni mwake na kufanya nitoe miguno ya kiume tena yenye kumsisimua mwanamke yoyote ambaye anajua thamani na raha ya miguno hiyo .Nikamuomba alale chini kisha nikampanua mapaja yake meupe na yanayo meremeta kwa vipodozi anavyo jipaka.Kidole changu nikakizamisha kwenye ikulu yake ambayo imesha anza kulowa lowa na mvua za mwanzo wa msimu.Nikaanza kukichezesha kidole changu mpaka nikaifikia Gsport yake iliyopo maeneo ya juu katika ikulu yake
Mama Caro akatoa ukelele huku akiibana bana miguu yake huku akijiminya minya maziwa yake kwa staili iliyo zidi kunipagawisha.Nikaendelea na uchunguzi wa kuikagua ikulu yake nilipo rithika nikaanza kuinyonya huku ulimi wangu ulio mrefu kiasi nikiuingiza ndani ya ikulu yake ambapo kusema ukweli hata kama mwanamke hajisikii kufanya mechi hiyo ni lazima atapata hamasa ya kucheza mechi hiyo.Mama Caro kwa kupagawa akaanza kuninyonya kidole changu kilicho kuwa kimezama ndani ya ikulu yake. Nikazidi kumpagawisha mama Caro pale nilipo ibana milango ya kuingili ikulu kwa lipsi zangu nene na kuivuta kidogo kama nataka kuichomo.Kidole changu gumba kikawa na kazi ya kukisugua kisimi chake ambacho kwa wakati huu kimevimba mithili ya kidole cha mwisho wa mguu kilicho jikwaa na kuvimba kidogo.
ITAENDELEA
STORY ... MY MOM'S FRIEND 01
WRITER………………………………………………………………..EDDAZARIA G.MSULWA
*********************
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio kama saa ya kichina, huku jasho jingi likinitoka na kulowanisha shati langu la mtumba nililo linununua juzi juzi mitaa ya karume kwenye sagura sagura, huku mwili nao ukishindwa kuzuia wasiwasi nilio nao unao onekana dhairi kwenye sura yangu. Nesi akafungua mlango wa chumba ambacho ndipo mama yangu aliingizwa nilipo mleta baada ya kuugua gafla ugonjwa ambao kwa elimu yangu ya darasa la saba wala siuelewi unaitwaje kwani ndio mara yangu ya kwanza kumuona akiwa katika hali kama hiyo iliyo nistaajabisha.
"Wewe ndio uliye mleta huyu mama humo ndani?"
"Ndio nesi"
"Anakuita"
Nikanyanyuka kwa haraka na nikaingia ndani ya wodi, huku nikiwa na shauku ya kujua nini alicho niitia mama kwani tangu nyumbani alikuwa akikoroma kama mtu anaye kata roho huku mapovu yakimtoka mdomoni. Nikamkuta mama amelazwa kwenye kitanda huku kando yake akiwemo dokta mtu mzima wa makamo akiwa amesimama, mikononi mwake akiwa amevalia gloves nyeupe kwa kuchanganyikiwa wala sikukumbuka kumsalimia daktari huyo aliyekuwa akinitazama tangu ninaingia mlangoni.
"Eddy mwa…..nangu nata……ka nikutume."
Mama alizungumza kwa sauti ya kukata kata, kama redio inayo poteza freguency huku akijitahidi kuweka tabasamu katika sura yake ambayo siku zote nimezoea kuiona ikiwa na furaha.
"Wapi mama yangu?"
"Kwa mama Caro kule Mbezi beach si unapakumbuka?"
"Ndio ninapakumbuka, mama nikamwambije?"
"Mwambie aje kuniona"
Nikamtazama mama kwa macho makali ya kumchunguza nikagundua kuwa hali yake ni mbaya ila ana jilazimisha kuzungumza na mimi ili kunirithisha tu. Nikatoka bila kuaga huku nikivaa ndala zangu vizuri zinazo chomoka chomoka mikanda yake. Kabla sijatoka katika kordo ya hospitali kuna dada akanigusa mkono na ikanibidi nimtazame
"Kaka unaitwa na yule dokta"
Nikageuka ninapo toka nikakuta yule dokta aliyekuwa wodini amesima. kwa ishara ya mkono akaniita na nikaanza kupiga hatua za haraka kwenda kumfwata .
"Naam dokta"
"Ina bidi ufanye haraka kwani ugonjwa wa mama yako unahitaji kuwahiwa la sivyo tutampoteza"
"Sawa dokta ila mama anaumwa na nini?"
"Anaumwa na ugonjwa wa moyo pamoja na kisukari"
Moyo ukanipasuka nikajikuta nikichomoka kama mshale na kuanza kukimbia kwa kasi huku ndala nikizishika mkononi kwani kwa jinsi zinavyo chomoka chomoka mikanda yake nikahisi zitanichelewesha kufika katika eneo nililoagizwa na mama. Njia nzima sikusimama zaidi ya kuendelea kukimbia pasipo kujali watu wananichukuliaje, hadi nikafika kwa Mama Caro. Nikasimama kwenye geti kubwa la jumba la kifahari la mama Caro, kwa wenge nikajikuta nikigonga kwa kutumia lapa. Mlinzi akafungua huku akiwa ameshika mbwa mkubwa na mkali ambaye mara zote nikitumwa kwenye hilo jumba ninaishia getini kwa kumuogopa mbwa huyo anaye itwa Simba.
"Vipi tena Eddy mbona juu juu"
"Kaka Salimu wee acha tu mama Caro nimemkuta?"
"Ndio yupo ndani tena ameingia muda si mrefu"
“Mshikilie mbwa wako vizuri asije akaning’ata”
Nilizungumza huku jasho likinitiririka uso mzima. Nikaingia ndani nikiwa ninapiga hatua ndefu na za haraka hadi lango la kuingilia ndani ya jumba hilo ambalo ukubwa wake ninaufananisha na yale majumba makubwa ya wanaigeria katika filamu zao. Nikaminya kengele iliyopo mlangoni, nikasubiri kwa dakika kathaa mlango ukajifungua wenyewe sikustuka kwani unatumia umeme kujifungua wenyewe. Nikakutana na mama Caro akishuka kwenye ngazi za ghorofani nikamsalimia kwa unyenyekevu wa hali ya juu.
"Mama amelazwa hospitali anakuhitaji"
“Anatatizo gani?”
“Daktari ameniembia sijui ameniambia ana kisukari sijui na ugonjwa wa moyo”
Nilizungumza kwa kubabaika huku mapigo ya moyo yakinienda mbio sana.
"Mungu wangu…….!! Ngoja nichukue funguo ya gari ninakuja”
Akapanda gorofani na baada ya dakika kadhaa akatoka huku akiwa na funguo mkononi mwake. Tukatoka hadi nje, tukaingia kwenye gari lake aina ya RANGE ROVER SPORT ambayo kwa mara ya kwanza ndio ninalipanda na kuligusa katika maisha yangu, kwani nilizoea kuiona barabarani au kwenye television. Ndani ya gari ukimya ukatawala huku nikimuangalia mama Caro jinsi anavyo badilisha gia kadri ya jinsi ya mwendo kasi wa gari hili unavyo uongeza. Kwa mwendo kasi alio utumia wa tukafika hospitali haraka na kushuka kwenye gari, kwa mwendo wa haraka tukapitiliza hadi wodini aliyo lazwa mama. Hatukumkuta mama kwenye kitanda alicho lazwa wote tukajikuta tumepigwa na butwaa na nikazidi kuogopa huku moyoni wasi wasi ukizidi kunitawala. Akili yangu ikiaanza kuwaza mambo yaliyo mabaya, japo sikuhitaji kuweza kuyapa nafasi kwa muda huu. Tukaelekea hadi ofisini kwa dokta huku machozi yakianza kunilenga lenga.
"Dokta kuna mgonjwa wangu mnene wastani hivi alikuwa katika ile wodi ya wanawake yu….."
Dokta akamnyamazisha mama Caro kwa ishara ya kumnyooshea mkono huku akitutizama machoni kiumakini akiwa kama mtu anaye hitaji kuzungumza kitu ambacho tayari nilihisi si kizuri kwa masikio yanngu kuweza kukisikia kwa wakati huu.
"Kwanza niwape pole kutokana mgonjwa wenu…………hatupo naye tena duniani"
“Dokta unasemaje!?”
Nilimuuliza daktari kwa mshangao huku mapigo ya moyo yakinienda kasi kiasi kwamba nikahisi hali ya tofauti ikiutawala mwili wangu
“Mama yako amefariki dunia na hatukuwa na jinsi ya kufanya tulijitahidi kadri ya uwezo wetu ila ndio hivyo MUNGU amempenda zaidi”
Hali niliyo kuwa nayo ikanitawala zaid, nikahisi mwili ukikosa nguvu na kizungu zungu kikali kikanitawala mwili wangu na kujikuta nikiyumba mara mbili na kuanguka chini nikapoteza fahamu.
***
Nikazinduka huku nikiwa sielewi na wapi nilipo, nikatazama eneo zima, ila kumbukumbu kwa haraka hazikuweza kunijia. Kitu nilicho kihisi ni jinsi tumbo langu linavyo hisi njaa kali sana. Nikashusha tena pumzi na kuliangalia eneo hili vizuri, kumbu kumbu za mazingira niliyopo zikaanza kunifahamisha kuwa hapo nipo ni hospitali kutokana na kuliona dripu la maji lililoingia katika mkono wangu wa kushoto huku nikiwa nimelala kwenye kitanda kidogo chenye shuka jeupe. Nikaanza kupiga kelele za kuomba msaada, wakaingia manesi wawili na kuanza kunituliza na kurekebisha sindano ya dripu iliyo chomoka mkononi mwangu. Nikatuli huku nikibubujikwa na machozi mengi yaliyo lowanisha mashavu yangu.
"Nesi naombeni nikamzike mama yangu tayari nimesha pona"
"Kaka ni wiki moja imepita tangu uletwe hapa hospitalini kwetu"
"Na nani?"
"Na mama mmoja mnene kiasi na mrefu wa wastani"
Nikatambua atakuwa ni mama Caro ndio aliye nileta ikanibidi niwe mpole huku nikiomba Mungu mama Caro aje ili niweze kumuuliza kitu kinacho endelea juu ya mama yangu. Baada ya masaa mawili mama Caro akaja huku akiwa amebeba chakula kwenye mfuko. Nikamsalimi akaitikia akatoa vyombo vyenye chakula na kukiweka mezani kisha akaanza kukipakua, akaanza kunilisha chakula taratibu huku akinibembeleza niendelee kula. Kutokana na njaa kali sikuwa na jinsi nikaendelea kukila chakula cha mama Caro, japo mimi ni mwembamba ila nikazidi kuwa mwembamba. Nguvu za mwili wangu nikaisi zimeniishia kabisa, kutokana na kukaa siku kadhaa pasipo kupata chakula.
“Mama yangu yupo wapi?”
“Eddy mwanangu muda huu sio wa wewe kuhangaika na hilo swala cha msingi ni kuhakikisha hali yako inakuwa salama”
“Hata kama ila ni muhimu niweze kutambua ni wapi alipo mama yangu”
“Eddy mwanangu nitakuelezea kila kitu pale afya yako itakapo kuwa sawa ila kwa sasa ngoja tuwaulize madaktari juu ya hali yako inavyo endelea na kama kuna la ziada tujua nini cha kufanya”
Nikamuelewa Mama Caro, baada ya kumaliza kunilisha akatoka katika chumba nilichopo mimi na baada ya dakika kama tano akarudi akiwa amengozana na daktari. Wakasimama pembeni ya kitanda changu huku wote wakinitazama.
“Mama kijana wako hali yake inaendelea vizuri, ila itatulazima awe chini ya uangalizi mzuri wa sisi madaktari tukijiridhisha juu ya maendeleo yake basi tuweze kumruhusu kurudi nyumbani.”
“Itachukua kipindi gani cha yeye kuwa katika huo uangalizi wenu?”
“Kama wiki moja na nusu kwani tunahitaji tumuanzishie dozi ya vyakula maalum vitakavyo irudisha afya yake kama awali”
“Mwanangu Eddy umesikia jinsi dokta alivyo sema?”
“Ndio ila kwanini hhiyo dozi nikaofanyia nyumbani?”
“Kijana hilo halite wezekana kutokana bado afya yako haijakaa sawia”
“Eddy utapona mwangu”
Baada ya wiki moja nikaruhusiwa kutoka hospitalini huku afya yangu ikiwa katika hali ya kurudi kama mwanzoni japo si sana.Mimi na mama Caro tukatoka hospitalini na moja kwa moja tukaelekea kwenye maduka ya nguo na kutafuta nguo kadhaa ambazo ningezitumia katika maisha yangu mapya.Mama Caro akaninunulia vyakula vya kuiimarisha afya yangu.Tukaelekea nyumbani kwa mama Caro na haikuchukua mud asana kufika nyumbani kwake kwani tulitumia gari lake la kifahari aina ya Rengerove Sport ambalo kwa hapa Tanzania wanalo watu wachache sana hii nikutokana na kupatikana kwa harama kubwa.Mama Caro akanikaribisha kwenye seble yake yenye sofa zenye dhamini kisha akapanda gorofani kwake huku akiwa amelibeba begi langu lenye nguo nyingi kisha baada ya muda akarudi na kukaa kwenye moja ya sofa
"Eddy afya yako ikikaa sawa utakwenda kuliona kaburi la mama sawa mwanagu?"
"Sasa ila kwanini mumzike kabla ya mimi kujua?"
"Eddy hatukuwa na jinsi kwani wewe hatukujua kama utapona au laa kwani iliniladhimu nikupeleke hospitali ya gharama na yenye madaktari mashuhuri ili kuyaokoa maisha yako kwani hospitali ile aliyokuwa amelazwa mama yako niligundua haina uangalizi mzuri wa kukusaidia wewe"
Nikajikuta sina cha kuzungumza zaidi ya kusema asante kwa mama Caro huku akili yangu ikimkumbuka mama yangu.Mam Caro akaingia jikoni na akaandaa chakula na baada ya muda akaniomba nijumuike naye mezani kwa ajili ya kula.Tukaanza kula taratibu huku ukimya ukiwa umetawala hadi tunamaliza hakuna aliye msemesha mwenzake.Mama Caro akanionyesha chumba cha kulala nikamuaga na kuondoka zangu na kumuacha akiwa amekaa sebleni alitazama Tv.Kutokana na uchovu nikajitupa kitandani na usingizi mzito ukanipitia.Gafla nikaona watu wengi wakiwa wanalipiga mawe jeneza la mama yangu na wengi wao ni walevi walio kuwa wakija katika baa ya mbege ya mama iliyopo pembeni ya kajumba chetu cha makuti.Mmoja wao akanifwata na kunipa jiwe kubwa nimponde mama yangu la kichwa la sivyo wananiua kwa kunipiga kwa mawe.Mmoja akanishikisha jiwe hilo na kunilazimisha nimpige mama yangu
“Siwezi kumpiga mama yangu”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika kiasi kwamba wakaanza kunishambulia kwa ngumi na magongo huku wakinipiga mawe,Taratibu nikaangukia ulipo mwili wa mama yangu na kumlalia kifuani huku damu nyingi zikinitoka puani na mdomoni
“Mama na mimi ninakufa sina haja ya kuishi duniani…sina baba na wewe kwangu ndio upendo ulo bakia nakupenda sana mama yangu”
Mtu mmoja akanyanyua jiwe kubwa lenye ncha kali na kulishusha kwa kasi kubwa likielekea maeneo ya kichwani kwangu na kabla halija nifikia nikastuka usingizini huku nikipiga makelele nikiliita jina la mama yangu huku jasho jingi likinimwaika.Nikastuka mlango ukifunguliwa na mama Caro akaingia huku akiwa amevaa nightdress(gauni la kulalia) inayo muonyesha nguo yeke ya ndani na kuja kukaa kwenye kitanda huku mkononi mwake akiwa ameshika bastola
"Vipi Eddy mbona unapiga kelele?"
"Ni ndoto tu"
"Ndio unapiga kelele hivyo mpaka nikahisi kuna kitu kibaya kimekuvamia?"
"Nisamehe mama"
"Hakuna haja ya kuniomba msamaha Eddy unajua kwa hali uliyo nayo ya msongamano wa mawazo nilazima uote vitu vya ajabu ajabu"
“Ndio mama nakuomba unisamehe sinto rudia tena”
“SAWA EDDY WANGU”
Mama Caro akakaa pembeni yangu na bastola yake akaiweka kitandani na kunipitishia mkono kiunoni huku mkono wake mwengine akipapasa nywele za kifuani mwangu.Nikakohoa kidogo kumstua mama Caro ila hakustuka akazidi kuushusha mkono wake hadi tumboni kwangu
"Ma…..ma"
"Eddy tulia kidogo kuna kitu nataka nikuonyeshe"
Alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiuchukua mkono wangu na kuuweka juu ya maziwa yake makubwa kiasi na yenye ulaini uliofanya mwili wangu kusisimka
"Mi...mi naumw..a mama"
Nilizungumza huku mapigo ya moyo yakianza kunidunda taratibu na woga ukianza kunitawala.Mama Caro akaushusha mkono wake na kuuingiza kwenye suruali hadi kwenye koki yangu iliyo simama na kuanza kuiminya minya kama mtu anaye chagua embe tosa kwenye genge huku macho yake akiwa ameyafumba kwa hisia kali.Mama Caro akaitoa koki yangu nje nikamuona akiitazama kwa macho yenye uchu mpaka udenda ukamwagika akawa kama teja la madawa ya kulevya
"Ma....ma mi na....umwa mwenzio"
Niliendelea kujitetea huku sauti yangu ikaanza kunilegea kama gari linanopanda mlima huku ikikata kata mawasiliano na kwenye injini.Mama Caro akaanza kuichua koki yangu kwa viganja vyake vilaini mithili ya mtu anayeosha mchi wa kusukumia chapatti.Akaushika mkono wangu na kunishikisha kwenye kiuno chake chenye cheni mbili za gold.Kwa kuutumia ulimi wake akaanza kuninyonya masikio na kujikuta naanza kucheka cheka sikujua hata kinichekeshacho ni nini.Mama Caro akanilaza kitandani na kukaa juu yangu sikuamini kama mwili wake unaweza kukaa juu ya kimwili changu na wala sikusikia maumivu sehemu yoyote.Mama Caro akavua kanguo kake na akabaki na chupi yake yenye vimijikanda vidogo(bikini).Koki yangu akaizamisha mdomoni mwake na kufanya nitoe miguno ya kiume tena yenye kumsisimua mwanamke yoyote ambaye anajua thamani na raha ya miguno hiyo .Nikamuomba alale chini kisha nikampanua mapaja yake meupe na yanayo meremeta kwa vipodozi anavyo jipaka.Kidole changu nikakizamisha kwenye ikulu yake ambayo imesha anza kulowa lowa na mvua za mwanzo wa msimu.Nikaanza kukichezesha kidole changu mpaka nikaifikia Gsport yake iliyopo maeneo ya juu katika ikulu yake
Mama Caro akatoa ukelele huku akiibana bana miguu yake huku akijiminya minya maziwa yake kwa staili iliyo zidi kunipagawisha.Nikaendelea na uchunguzi wa kuikagua ikulu yake nilipo rithika nikaanza kuinyonya huku ulimi wangu ulio mrefu kiasi nikiuingiza ndani ya ikulu yake ambapo kusema ukweli hata kama mwanamke hajisikii kufanya mechi hiyo ni lazima atapata hamasa ya kucheza mechi hiyo.Mama Caro kwa kupagawa akaanza kuninyonya kidole changu kilicho kuwa kimezama ndani ya ikulu yake. Nikazidi kumpagawisha mama Caro pale nilipo ibana milango ya kuingili ikulu kwa lipsi zangu nene na kuivuta kidogo kama nataka kuichomo.Kidole changu gumba kikawa na kazi ya kukisugua kisimi chake ambacho kwa wakati huu kimevimba mithili ya kidole cha mwisho wa mguu kilicho jikwaa na kuvimba kidogo.
ITAENDELEA
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment