Saturday, 15 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Wanawake Msiwalaumu Wanaume Kwa hili

Kwa kuwa asilimia kubwa ya sex organ kwa mwanaume ni nje ya mwili na huonekana kirahisi kuna imani potofu kwamba size ya uume ndiyo jambo la msingi katika kazi.
Na wapo wanawake huamini kwamba kazi ya mwanaume ni kutoa amri kwa uume wake na automatically unasimama na kuwa tayari kwa kazi.
   

Kukosa uelewa na ufahamu wa namna hiki kiungo kinavyofanya kazihupelekea kwa baadhi ya wanandoa kutoridhishana na hata kuwa frustrated wakati wa faragha zao.
Kufahamu namna hiki kiungo cha thamani kinavyofanya kazi huweza kukufanya uwe na maisha salama ya kimapenzi kwa Yule unayempenda.

Je, nini hutokea mwanaume anaposisimka kimapenzi?
Ubongo husafirisha taarifa za kusisimka (iwe baada ya kuona au kuguswa) hadi kwenye uume na damu inayoingia huko huzuiliwa isitoke na hii hufanya uume kudinda na huweza kubadilisha direction kutoka kulala na kuangalia chini hadi kusimama na kunyooka kwa kwenda juu mithili ya mti au fimbo.

Hakuna mwanaume duniani anaweza kuamrisha uume wake kusimama kwani sehemu inayosimamia uume kusimama katika Ubongo ni ile inajitegemea bila ufahamu (unconscious level), ingawa mawazo ya ufahamu (conscious) husababisha au kuzuia uume kusimama.
Wapo wanawake ambao hawajui kwamba mwanaume hana uwezo au ujanja wa kuamua erection itokee na huwa very disappointed pale mwanaume anapomaliza na uume kulala kabla ya yeye mwanamke kuridhika.
Hata hivyo silaha muhimu kwa mwanamke anapoona uume wa mume wake umegoma kazi ni kutoa neno tamu au kumtia moyo au kumsifia na hiyo inaweza kuwa switch ya kufungua na baada ya sekunde Mr. happy anaweza kusimama wima na kuwa tayari kwa kazi.

Hii ina maana kwamba mwanaume ambaye fimbo yake imegoma kuendelea na kazi hataweza kushiriki sex wakati mwanamke hata kama hajisikii bado anaweza kushiriki sex pale tu penetration ikiwezekana.
Pia hii ina maana mwanamke anaweza kudanganya (fake) sex na mambo yakawa shwari hata kama hana hamu, wakati mwanaume haiwezekani kudanganya kwani uume lazima usimame na hawezi kulazimisha au kutoa amri uume usimame.
Baada ya mwanaume kufika kileleni uume hurudi katika hali yake ya kawaiada na mwanaume hujisikia kulala usingizi. Na hapo mwanaume huhitaji muda zaidi ili aweze kufanya tena labda awe bado kijana sana kwani kwa mwanaume wa miaka mingi huhitaji masaa kadhaa ili aweze kurudia tena.
Uimara na ugumu wa uume wake ukiwa umesimama ni kipimo cha uwezo wake wa kusisimka hata hivyo mwanaume anaweza kuonesha dalili zote za kusisimka na bado akawa na poor erection kwa sababu ya labda uchovu, au kutokuwa tayari kwa sex kutokana na mawazo au kukosa nguvu za kiume (impotent).

Mwanamke anaweza kutumia trick ya kuingiza uume ambao haujasimama vizuri (half erection) huku akiendelea kumpa kisses, maneno matamu na kumshikashika sehemu tofauti kimahaba hii husababisha uume kusimama na wakaendelea kufurahia mapenzi.
Hii ina maana soft erection kwa mwanaume haina maana kwamba ni mwisho wa sex.
Pia hakuna ushahidi unaoonesha kisayansi kwamba baada ya mwanaume kukua kama anaweza kuongeza ukubwa au urefu wa uume wake.
Hakuna mwanaume anaweza kufanya hakuna vidonge wala cream au kitu kinaweza kuongeza size ya uume.
Pia vijana wa umri mdogo mara nyingi humaliza haraka kutokana na kukosa uzoefu wa kuweza kuthibiti mwili ingawa pia kama mwanaume hajashiri sex kwa muda mrefu anaweza kumaliza mapema na ili aweze kutumia muda mrefu kumaliza ni muhimu kushiriki sex na mke wake mara kwa mara.

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4