Mahusiano

Majina ya wanaume na Sifa zao katika mahusiano yao na mapenzi
1. Dennis-mapenzi ya tamthiliya
2. Nicolas-muongo
3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja
4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu
5. Joseph/Josephat-kicheche
6. Jeryson-anapenda mademu ila wanawake wanamkataa
7. Shadrack-anapenda sifa kwa mademu
8. Richard-ana wapenzi wengi ila msiri
9. Mathew-anapendwa na wanawake ila domo zege
10. Thomas-anapendwa na mademu ila hajatulia
11. Prosper-hajui habari za mapenzi
12. Fidelis-mtaalam wa kutongozea mademu wenzie(kuwadi)
13. Peter-maneno mengi ila vitendo sifuri
14. Christopher-wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu
15. Elvis-Handsome ila hapendwi na mademu
16. Edward/Eddy -serious sana kwenye mapenzi
17. Mussa-mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha
18. Ally-wasiri sana kwenye mapenzi
19. Mohammed-anapenda watu waliomzidi umri
20. Nickson-wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya
21.Frederick-anapenda sifa kwa wanawake ili apendwe
22. Jimmy-wana mapenzi ya kejeli
23. Elias-anapenda mademu ila anaogopa kuwaambia
24. Frank-huyu mpole, hajui kudanganya, wanawake wanajitongozesha wenyewe
25. Joachim-hana habari na nademu, anaamini ipo siku ataoa tu
26. Benjamin-anapenda achape tu atembee
27. Steven-hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa
28. Gerald-mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu
29. Elisha-anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii
30. Benard-akipenda kapenda
31. Daudi-hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa
32. Davis-anapenda sehemu sahihi lakini uacha na kupotea pabaya.
33. Daniel-ana maneno mengi sana na ni muongo
Mengine yanakuja.....
Majina ya wanaume na Sifa zao katika mahusiano yao na mapenzi

Majina ya wanaume na Sifa zao katika mahusiano yao na mapenzi
1. Dennis-mapenzi ya tamthiliya
2. Nicolas-muongo
3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja
4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu
5. Joseph/Josephat-kicheche
6. Jeryson-anapenda mademu ila wanawake wanamkataa
7. Shadrack-anapenda sifa kwa mademu
8. Richard-ana wapenzi wengi ila msiri
9. Mathew-anapendwa na wanawake ila domo zege
10. Thomas-anapendwa na mademu ila hajatulia
11. Prosper-hajui habari za mapenzi
12. Fidelis-mtaalam wa kutongozea mademu wenzie(kuwadi)
13. Peter-maneno mengi ila vitendo sifuri
14. Christopher-wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu
15. Elvis-Handsome ila hapendwi na mademu
16. Edward/Eddy -serious sana kwenye mapenzi
17. Mussa-mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha
18. Ally-wasiri sana kwenye mapenzi
19. Mohammed-anapenda watu waliomzidi umri
20. Nickson-wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya
21.Frederick-anapenda sifa kwa wanawake ili apendwe
22. Jimmy-wana mapenzi ya kejeli
23. Elias-anapenda mademu ila anaogopa kuwaambia
24. Frank-huyu mpole, hajui kudanganya, wanawake wanajitongozesha wenyewe
25. Joachim-hana habari na nademu, anaamini ipo siku ataoa tu
26. Benjamin-anapenda achape tu atembee
27. Steven-hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa
28. Gerald-mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu
29. Elisha-anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii
30. Benard-akipenda kapenda
31. Daudi-hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa
32. Davis-anapenda sehemu sahihi lakini uacha na kupotea pabaya.
33. Daniel-ana maneno mengi sana na ni muongo
Mengine yanakuja.....
Leave Comments
Post a Comment