Udaku
Mbosso "Nina MBEGU za Kutosha Hata Wewe Ukitaka Njoo Nikuzalishe"
Mbosso awajibu wote wanaosema anazaa hovyo hovyo kila mtoto na mama yake..
Amefunguka vikali... "Mimi wala sizai bali nazalisha na nina mbegu za kutosha tena zenye rutuba ndio maana nawazalisha, kwahiyo hata wewe ukitaka mtoto njoo nikuzalishe acha wivu" Mbosso #KhanBoy #Mwamba...
Pichani Mbosso(28) na watoto wake ambao wamezaliwa mwezi mmoja na mama tofauti mama mmoja akiwa Mtanzania na mwingine akiwa Mkenya.
Amefunguka vikali... "Mimi wala sizai bali nazalisha na nina mbegu za kutosha tena zenye rutuba ndio maana nawazalisha, kwahiyo hata wewe ukitaka mtoto njoo nikuzalishe acha wivu" Mbosso #KhanBoy #Mwamba...
Pichani Mbosso(28) na watoto wake ambao wamezaliwa mwezi mmoja na mama tofauti mama mmoja akiwa Mtanzania na mwingine akiwa Mkenya.
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment