Wednesday, 19 March

Ads Right Header

Buy template blogger

NINANI MWENYE MAMLAKA YA KUTAMKA NDOA KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME?

Image may contain: 1 person, smiling, sitting and close-up
Najua majibu yenu ndo niliyo nayo, Mwanaume ndo mwenye jukumu la KUTAMKA NDOA MBELE YA USO WA MWANAMKEšŸ’ƒ 
Lakini ukiona Uko kwenye MAHUSIANO na Mwanaume takribani miezi 6 na Mtu huyo haongelei kama yupo kwenye mpango wa kukuoa HESABU ULIKUWA KWENYE STAREHE na badilisha mwelekeo mapema, Kama umefurahishwa na starehe SHIKAMANA Kwani  ndo maisha dadaangu ila kama mtazamo wako Ulikuwa UMEPATA MUME hapo hesabu hasarašŸ˜‚ 
Waswahili wanasema YAJAYO YANAFURAHISHA basi mwaga manyanga endelea na safari nina hakika huko mbele yupo ambaye ameandikwa kwa kiwango hicho cha HESHIMA YA MUMEšŸ’ŖšŸ½ 
Muda ni Mali hebu tunza Muda uone vile MUDA UNAVYOTUNZA FURAHAšŸ™‹šŸ»ā€ā™‚

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4