Mambo unayotakiwa kuyaepuka wakati Wa kwenda kulala na mmeo
kama mke unatakiwa kuepuka tabia hizi pindi uingiapo chumbn kulala na mmeo kwenda kulala mda (wakati) tofauti na mmeo
Mme kalala chumban wewe upo sebulen au wewe unaanza kulala kabla ya mmeo kuwa bize na simu au tv ukiwa kitandan
hii utafsiliwa kama dharau yaan umemdharau mmeo kupanda kitandani ukiwa mchafu
ujaoga au hujajisafisha uke,ujanyoa mavuz, hii umfanya Mme akinai kufany mapenz na wewe kulala kitandani na Mme huku unahasira
hii utafsiriwa kuwa unakiburi na umemchoka Mme kuwa bubu chumbani
upo na mmeo kitandani upo kimya mda wote, upo serious km upo na kaka yako
hii umfanya Mme hakose hamu ya kukuanza ❤kutoa visingizio Mme akionyesha kutaka mzigo
hii ndio hatar kbs hupelekea Mme kuchepuka, "Kama unatabia moja wapo hapo achaa! Mwali wangu, usije, ukalia na mito chumbn upooo
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment