RASTA HUYU MBUKINAFASO YUPO KWENYE RADA ZA SIMBA
RASTA HUYU MBUKINAFASO YUPO KWENYE RADA ZA SIMBA
SOGNE Yacouba, mshambuliaji anayekipiga ndani ya Asante Kotoko anatajwa kuingia anga za Simba na Azam.
Yacouba mwenye miaka 28 inaelezwa kuwa mkataba wake unameguka msimu huu hivyo atasaini akiwa mchezaji huru.
Mshambuliaji huyo inaelezwa kuwa anawatambua vema Simba kwani aliwahi kuwatungua kwenye moja ya mchezo wa Simba day Uwanja wa Taifa na ngoma ilikamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1.
Mbali na Simba inaelezwa kuwa Free State ya Ghana inahitaji saini ya nyota huyo raia wa Burkina Faso.
SOGNE Yacouba, mshambuliaji anayekipiga ndani ya Asante Kotoko anatajwa kuingia anga za Simba na Azam.
Yacouba mwenye miaka 28 inaelezwa kuwa mkataba wake unameguka msimu huu hivyo atasaini akiwa mchezaji huru.
Mshambuliaji huyo inaelezwa kuwa anawatambua vema Simba kwani aliwahi kuwatungua kwenye moja ya mchezo wa Simba day Uwanja wa Taifa na ngoma ilikamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1.
Mbali na Simba inaelezwa kuwa Free State ya Ghana inahitaji saini ya nyota huyo raia wa Burkina Faso.
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment