Angalia Picha: Mzanzibari anayetengeneza Furniture kwa kutumia Pipa
Angalia Picha: Mzanzibari anayetengeneza Furniture kwa kutumia Pipa

Tumezoea kuona bidhaa nyingi zikibuniwa na watu kutoka mataifa ya nje nasisi kuishia kununua tu, lakini wapo vijana wabunifu wenye uwezo wa kutengeneza vitu vyenye thamani kubwa katika kisiwa chetu cha Zanzibar.
Silima Borafya Silima mkazi wa Kisonge Mjini Unguja ni Mjasiriamali anayetengeneza Sofa za kisasa, Meza na viti vyake pamoja na Dressing table kwa kutumia Pipa za mafuta.
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment