China yaionya Uingereza kwa kujitolea kuwapokea raia wa HongKong
China imeionya Uingereza kuingilia masuala ya Hong Kong baada ya taifa hilo kuapa kuwafungulia milango raia wapatao milioni tatu wa HongKong ambao wataondoka endapo sheria ya usalama wa taifa itapitishwa katika jimbo hilo.
Marekani na Uingereza zimekuwa zikiikosoa hatua hiyo ya China ambayo inawatia wasiwasi wachambuzi wengi wa kisiasa kuhusu mustakabali wa watu wa HongKong.
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment