Ads Right Header

Buy template blogger

KWA NINI UNATESEKA KISA MAPENZI ??? HEBU SOMA HAPA UPONE

Image may contain: one or more people and people standing

Utavumulia maumivu na manyanyaso mpaka lini ? Utaendelea kuvumilia usaliti na dharau zake kisa tu yeye ana pesa au kisa tu ye ni mrembo sana au handsome??

Mwonekano wake mzur au pesa zake vinakusaidia nini kama hakuheshimu wala hakujali ?? Unahis ukimuacha utapoteza maisha na furaha au vipi??

KAKA/DADA epuka kuwa mtumwa wa penz kwa mtu asiye jali uwepo wako kwake. Usiogope kumpoteza hata kama bado unampenda. Kwan wangap uliwah kuwa nao ila sasa umewasahau ?? Kumbuka ulimchagua awe taa ya kuangaza maisha yako sasa kawa fisadi wa mapenz hakufai.

Ktk maisha yako jifunze kuwaruhusu wanso taka kukaa mbali na maisha yako. Huwez wazuia watu wanao kukimbia bali jifunze kuishi bila wao na kuamin kesho utapata bora zaid yao. Machozi yako hayatoshi kufuta kumbukumbu mbaya ko kaa chin kisha inuka kishujaa. Leo anakuona Taka Taka kesho atakuona Almasi baada ya kukupoteza na ukaokotwa na wengine

Epuka kuishi kwa historia kila kitu kinatokea kwa mipango ya Mungu. Shida zinapo kuzidia ujue Neema inakaribia. Simanz yako ina mwisho wake. Usiruhusu aendeshe maisha yako sababu ya pesa zake au mvuto wake. Hapo ulipo Bado unathaman kubwa jitunze siku utathaminiwa

Wa kuja kukupa faraja humjui na hujui wap na lin utampata kwa sasa endelea mwomba Mungu. Umekutana nae ukubwan bas asikufanye ujute kuzaliww. Kumbuka Mwanajeshi huenda vitan akiwa hajui kesho yake..nawe ishi kwa kumuomba Mungu zaliwa upya na akili mpya. Wewe ni MAMA/BABA...MKE/MUME wa kesho. Usikate tamaa kisa umri

KILA la HERI
Jikomboe mwenyewe

Share na rafik yako



  NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4