Mbowe aendelea kupatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na kujeruhiwa
Mwenyekiti Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya DCMC Ntyuka iliyopo mkoani Dodoma baada ya kuvamiwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.
Baadhi ya viongozi wamefika hospitalini hapo ili kumjulia hali Mwenyekiti huyo wa CHADEMA, akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson.
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment