MWANAUME ANGEMPENDA MWANAMKE KWA MOYO π WAKE WALA ASINGEACHA KURIDHIKA NA MWANAMKE MMOJA
Mwanaume ni sawa na mgonjwa wa kisukari πππ
Yaani ni kweli AMEOAπ©❤️π¨ ila kuacha kupata hamu kwa Mwanamke mzuri zaidi ya mkewe ni kama DHAMBIπ€¦♂️
Ndo maana nikamlinganisha Mwanaume na mgonjwa wa kisukari, ni kweli ametakiwa kuacha vitu vitamu ila akiona FANTA anameza mate π
Tatizo sio UZURI WA MWANAMKE tatizo kubwa linawapata wanaume ni KUTOMKUBARI MWANAMKE ALIYE NAYE na kuamini katika FARASIπ¦ UKIMPANDA HAKUTISHI MIONDOKO wakati huo huo MWANAMKE aliyemfanya amdharau aliye nae kuna Mwanaume kamkinai hapo ndipo utanielewa TATIZO LA WANAUME SIO UZURI WA MWANAMKE Tatizo lao kuu KIUππ
Muda wote wanatamani kuonja kila KISIMA bila hata kujua wataleta MADHARA gani kwa aliyepoπ€
Visima vingine ukionja maji yake utahamia na hapo ndipo utanielewa kwamba KULIKO KUONJA ONJA CHIMBA KISIMA CHAKO MWENYEWEπ€
Yaani ni kweli AMEOAπ©❤️π¨ ila kuacha kupata hamu kwa Mwanamke mzuri zaidi ya mkewe ni kama DHAMBIπ€¦♂️
Ndo maana nikamlinganisha Mwanaume na mgonjwa wa kisukari, ni kweli ametakiwa kuacha vitu vitamu ila akiona FANTA anameza mate π
Tatizo sio UZURI WA MWANAMKE tatizo kubwa linawapata wanaume ni KUTOMKUBARI MWANAMKE ALIYE NAYE na kuamini katika FARASIπ¦ UKIMPANDA HAKUTISHI MIONDOKO wakati huo huo MWANAMKE aliyemfanya amdharau aliye nae kuna Mwanaume kamkinai hapo ndipo utanielewa TATIZO LA WANAUME SIO UZURI WA MWANAMKE Tatizo lao kuu KIUππ
Muda wote wanatamani kuonja kila KISIMA bila hata kujua wataleta MADHARA gani kwa aliyepoπ€
Visima vingine ukionja maji yake utahamia na hapo ndipo utanielewa kwamba KULIKO KUONJA ONJA CHIMBA KISIMA CHAKO MWENYEWEπ€

Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment