Tuesday, 18 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Picha ya Tukio Inayozungumziwa Zaidi Mitandaoni...Mzungu Aliyekamatwa Kwa Kesi ya Mauaji Akihudumiwa Vizuri na Polisi wa Marekani..Tofauti na Mtu Mweusi Akikamatwa



Hili ni moja ya Matukio yanayozungumziwa zaidi Mitandaoni na kuchagiza hoja ya Ubaguzi wa rangi unaoendelea nchini Marekani kwasasa

Huyu ni Sebastian Arzadon , Aliyekamatwa juzi kwa kesi ya Mauaji ya watu wawili huko Lawrenceburg nchini Marekani. Licha ya kuwa ni muuaji , Sebastian alikamatwa vizuri na polisi ikiwemo kumpatia maji ya kunywa pamoja na kumsafisha majeraha yake kabla ya kumpeleka kituoni

Hali ni tofauti kwa Wamarekani weusi , ambao wengi wao huteswa na polisi ikiwemo kupigwa risasi , kwa makosa yasiyo na uzito , na polisi wanaofanya hivyo kutochukuliwa hatua yoyote

  NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4