Rais Magufuli atajwa kati ya watu 10 walioleta mabadiliko Afrika
Utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli unaendelea kuonekana nje ya mipaka , baada ya Jarida kubwa la African Report kumtaja Kama miongoni mwa watu 10 walioleta mabadiliko makubwa barani Afrika
Jarida hilo limemtaja Rais Magufuli kama kiongozi aliyeweza kufanya mapinduzi makubwa katika miradi ya Kiuchumi na kijamii , na kusababisha uchumi wa Tanzania kua ni uchumi unaokua kwa kasi zaidi barani Afrika
Pia limemuelezea Rais Magufuli Kama kiongozi aliyeweza kurejesha nidhamu ya kazi kwa viongozi wa umma, kudhibiti rushwa na Kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi
Vilevile limesifia juhudi zake za kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini Tanzania, pamoja na kujitolea kupunguza mshahara wake kipindi alipoingia madarakani.
Jarida hilo limemtaja Rais Magufuli kama kiongozi aliyeweza kufanya mapinduzi makubwa katika miradi ya Kiuchumi na kijamii , na kusababisha uchumi wa Tanzania kua ni uchumi unaokua kwa kasi zaidi barani Afrika
Pia limemuelezea Rais Magufuli Kama kiongozi aliyeweza kurejesha nidhamu ya kazi kwa viongozi wa umma, kudhibiti rushwa na Kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi
Vilevile limesifia juhudi zake za kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini Tanzania, pamoja na kujitolea kupunguza mshahara wake kipindi alipoingia madarakani.
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Leave Comments
Post a Comment