SIMBA YAKWEA PIPA KUIFUATA MBEYA
SIMBA YAKWEA PIPA KUIFUATA MBEYA
TIMU ya Simba leo imeanza safari kwa ndege kutoka Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuelekea Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ya Ligi Kuu Bara.
Jumatano ya Juni 24 itakuwa na kazi mbele ya Mbeya City mchezo utakaochezwa Uwanja wa Sokoine.
Mchezo wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-0 mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
TIMU ya Simba leo imeanza safari kwa ndege kutoka Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuelekea Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ya Ligi Kuu Bara.
Jumatano ya Juni 24 itakuwa na kazi mbele ya Mbeya City mchezo utakaochezwa Uwanja wa Sokoine.
Mchezo wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-0 mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment