Wednesday, 19 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Stanbic yatoa miliioni 50 kwa wizara ya Afya

Stanbic yatoa miliioni 50 kwa wizara ya Afya

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki ya Stanbic Tanzania, Bi. Desderia Mwegelo akimkabidhi Mganga Mkuu wa Serikali, Prof Abel Makubi mfano wa hundi yenye thamani ya TZS miliioni 50 ambayo ni mchango wa benki hiyo kwa kazi zinazoendeshwa na Wizara ya Afya. Aliyesimama kulia ni Mkuu wa Idara ya huduma za Biashara na Uwekezaji wa benki ya Stanbic, Bw. Manzi Rwegasira.


Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4