BALAA LA LIGI KUU BARA KUENDELEA LEO, CHEKI RATIBA
BALAA LA LIGI KUU BARA KUENDELEA LEO, CHEKI RATIBA
KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kinaendelea Julai 15 leo ambapo timu sita zitakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu.
Mambo yatakuwa namna hii:-
Ruvu Shooting v Mwadui FC, Uwanja wa Mabatini.
Lipuli v KMC, Uwanja wa Samora.
Biashara United v Polisi Tanzania, Uwanja wa Karume.
Mechi zote zitapigwa saa 10:00 jioni.
KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kinaendelea Julai 15 leo ambapo timu sita zitakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu.
Mambo yatakuwa namna hii:-
Ruvu Shooting v Mwadui FC, Uwanja wa Mabatini.
Lipuli v KMC, Uwanja wa Samora.
Biashara United v Polisi Tanzania, Uwanja wa Karume.
Mechi zote zitapigwa saa 10:00 jioni.
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment