Wednesday, 19 March

Ads Right Header

Buy template blogger

DK,CHARLES KIMEI AMLILIA MZEE BENJAMIN MKAPA

DK,CHARLES KIMEI AMLILIA MZEE BENJAMIN MKAPA

"Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa kiongozi mwenye uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yetu na Afrika."

Alikuwa mwenye ndoto na maono makubwa ya Afrika kutumia utajiri wa rasilimali ilizonazo na idadi kubwa ya watu kujitegemea kiuchumi."

 Alihimiza umoja, amani na mshikamano kama msingi muhimu kwa maendeleo. "

"Hakika tumempoteza kiongozi mahiri ambaye ushauri wake na uzoefu wake bado vilihitajika. "

"Natoa pole kwa Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli, familia yake na watanzania wote kwa msiba huu. Tunauombea apumzike kwa amani."

Dkt Charles Stephen Kimei

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4