HomeRais Magufuli aongoza Watanzania kuuaga mwili wa Hayati Benjamin William Mkapa Jijini Dar leo.Rais Magufuli aongoza Watanzania kuuaga mwili wa Hayati Benjamin William Mkapa Jijini Dar leo.
Rais Magufuli aongoza Watanzania kuuaga mwili wa Hayati Benjamin William Mkapa Jijini Dar leo.
Rais Magufuli aongoza Watanzania kuuaga mwili wa Hayati Benjamin William Mkapa Jijini Dar leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifuta machozi wakati akielezea namna alivyomjua Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa wakati akihutubia katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Leave Comments
Post a Comment