Ads Right Header

Buy template blogger

WAZIRI AMJULIA HALI KIJANA DEOGRATIUS MIANGA

WAZIRI AMJULIA HALI KIJANA DEOGRATIUS MIANGA
Mheshimiwa Majaliwa akizungumza na  Mianga  hospitalini hapo. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa  MOI Dkt. Respicious Boniface, (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
……………………………………………………………..
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana (Ijumaa Julai 24, 2020) alimjulia hali kijana Deogratias Mianga mkazi wa Singida ambaye amelazwa katika Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa ajili ya matibabu.

Waziri Mkuu alimuona Deogratias kupitia vyombo vya habari akiomba msaada wa matibabu kutokana na matatizo ya mgongo.  Waziri Mkuu aliguswa na hali ya Deogratius na tarehe 02/07/2020 alimuwezesha kufika MOI na kufanyiwa upasuaji tarehe 06/07/2020. 
Previous article
Next article

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4