KIKOSI CHA YANGA KWA MSIMU WA 2020/21 HIKI HAPA
USIKU wa kuamkia leo Agosti 31 dirisha la usajili lilifungwa rasmi baada ya kufunguliwa Agosti Mosi na Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF).
Hiki hapa kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2020/21
MAKIPA
Farouk Shikalo
Metacha MnataRamadhan Kabwili
Mabeki
Paul Godfrey ni beki wa kulia
Kibwana Shomari beki wa kulia
Yasin Mustafa beki wa kushoto
Adeyum Saleh beki wa kushoto
Lamine Moro beki wa kati
Said Makapu beki wa kati
Bakari Nondo Mwamnyeto beki wa kati
Abdallah Shaibu Ninja beki wa kati
Viungo
Zawadi Mauya kiungo mkabaji
Feisal Toto kiungo mkabaji/Mchezeshaji
Haruna Niyonzima kiungo mchezeshaji
Abdulaziz Makame kiungo mkabaji
Mukoko Tonombe kiungo mkabaji
Balama Mapinduzi kiungo mshambuliaji
Deus Kaseke kiungo mshambuliaji
Juma Mahadhi kiungo mshambuliaji
Farid Mussa kiungo mshambuliaji
Tuisila Kisinda kiungo mshambuliaji
Carlos Carlinhos kiungo mshambuliaji
Washambuliaji
Feisal Toto kiungo mkabaji/Mchezeshaji
Haruna Niyonzima kiungo mchezeshaji
Abdulaziz Makame kiungo mkabaji
Mukoko Tonombe kiungo mkabaji
Balama Mapinduzi kiungo mshambuliaji
Deus Kaseke kiungo mshambuliaji
Juma Mahadhi kiungo mshambuliaji
Farid Mussa kiungo mshambuliaji
Tuisila Kisinda kiungo mshambuliaji
Carlos Carlinhos kiungo mshambuliaji
Washambuliaji
Wazir Junior
Ditram Nçhimbi
Yacouba Songne
Michael Sarpong
Adam Kiombo
Ditram Nçhimbi
Yacouba Songne
Michael Sarpong
Adam Kiombo
Leave Comments
Post a Comment