MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI HOLILI – ROMBO

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Sokoni, Holili wilayani Rombo

Wananchi wa Rombo wakimshangilia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Sokoni, Holili wilayani Rombo.





Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa soko la Holili wilayani Rombo, Septemba 7, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Leave Comments
Post a Comment