MGOMBEA UBUNGE MUHAMBWE KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO ANADI SERA ZAKE KIBONDO
Mgombea Ubunge wa jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Julius Masabo akiwaomba kura wakazi wa Kibondo mjini wakati wa Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni za mgombea huyo.(Picha na Said Powa)
Wananchi wa Kibondo mjini wakimsikiliza sera za mgombea huyo
Previous article
Leave Comments
Post a Comment