Tuesday, 18 March

Ads Right Header

Buy template blogger

NORWAY YAITAJA TANZANIA KAMA KIELELEZO CHA AMANI,DEMOKRASIA KATIKA CHAGUZI BARANI AFRIKA

NORWAY YAITAJA TANZANIA KAMA KIELELEZO CHA AMANI,DEMOKRASIA KATIKA CHAGUZI BARANI AFRIKA

 

Balozi wa Sweden nchini Mhe. Anders Sjöberg akimueleza jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi wakati alipokutana kwa mazungumzo leo jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Kabudi akimuonesha Balozi Sweden nchini, Mhe. Anders Sjöberg moja ya vipengele vilivyopo kwenye sheria ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Kabudi akikagua nakala ya hati za utambulisho za Balozi mteule wa Uswisi hapa nchini Mhe. Didier Chassot 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Kabudi akimuonesha Balozi Norway nchini, Mhe. Elisabeth Jacobsen moja ya kipengele cha sheria ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi wakati alipokuwa akimkabidhi nakala ya nyaraka hizo

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4