JPM AKIOMBEWA SALA YA HERI JIJINI MBEYA
JPM AKIOMBEWA SALA YA HERI JIJINI MBEYA
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiombewa Sala ya heri katika Majukumu yake na Masista wa Kanisa Katoliki jijini Mbeya jana mara baada ya kuwahutubia Maelfu ya Wananchi wa mkoa wa Mbeya
Previous article
Next article



Leave Comments
Post a Comment