Monday, 17 March

Ads Right Header

Buy template blogger

KONGAMANO LA KIHISTORIA LA KUHUBIRI AMANI NA UPENDO PAMOJA DUA

KONGAMANO LA KIHISTORIA LA KUHUBIRI AMANI NA UPENDO PAMOJA DUA

 

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa baraka la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa mikoa mitâtu ya Unguja katika Kongamano la Kihistoria la kuhubiri Amani na Upendo pamoja na dua katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja Leo

Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika Kongamano la Kihistoria la kuhubiri Amani na Upendo pamoja na dua wakimsikiliza  Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa baraka la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja 

Baadhi ya Akinamama mbali mbali waliohudhuria katika Kongamano la Kihistoria la kuhubiri Amani na Upendo pamoja na dua wakimsikiliza  Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa baraka la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja .[Picha na Ikulu.

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4