Monday, 17 March

Ads Right Header

Buy template blogger

KUMEKUCHA BONGO,BAADA UA YANGA KUTIMUA KOCHA MWINGINE APIGWA CHINI

KUMEKUCHA BONGO,BAADA UA YANGA KUTIMUA KOCHA MWINGINE APIGWA CHINI

 


UONGOZI wa Klabu ya Ihefu yenye maskani yake Mbeya, leo Oktoba 6 imetangaza kusitiksha mkataba wa aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Maka Mwalwisi.


Taarifa rasmi iliyotolewa na Uongozi wa Ihefu haijaeleza sababu za kuachana na kocha huyo.


Anakuwa ni Kocha wa pili kufutwa kazi ndani ya Oktoba baada ya Yanga kuanza kufanya hivyo Oktoba 3 kwa kumfuta kazi Zlatko Krmpotic.

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4