MGOMBEA URAIS WA CCM,RAIS DKT MAGUFULI ANAVYOENDELEA KULITIKISA JIJI LA MBEYA KWA NAMNA YAKE.
MGOMBEA URAIS WA CCM,RAIS DKT MAGUFULI ANAVYOENDELEA KULITIKISA JIJI LA MBEYA KWA NAMNA YAKE.
Baadhi ya Wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia wakazi wa eneo hilo la Mbalizi mkoani Mbeya wakati akielekea Tundumba kwa ajili ya Mikutano ya Kampeni za Urais kwa upande wa CCM leo tarehe 01 Oktoba 2020. 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Mbalizi mkoani Mbeya wakati akielekea Tundumba kwa ajili ya Mikutano ya Kampeni za Urais kwa upande wa CCM leo Oktoba 01,2020. 
Previous article
Next article
 





 
 
 
 
Leave Comments
Post a Comment