Monday, 17 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚

Image result for Picha Za Uchi gigy money

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani. kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4