Sunday, 16 March

Ads Right Header

Buy template blogger

ANGALIZO KWA MABINTI, USIPUUZE..!!







Mimi sikukatazi kutumia mwili wako kama kitega uchumi.

Sikukatazi kulala na wanaume kwaajili ya pesa,mavazi,vipodoxi na hata magari

Lala na kila mwanaume unayemwona mbele yako.

Endelea tu kubadili wanaume kama hereni leo unavaa nyekundu kesho pinki.

Endelea kuweka rekodi ya kulala kwenye mahotel mengi na wanaume tofauti tofauti.....Oriental hotel, sheraton hotel n.k

Endelea kuwapanga tu mpaka idadi ya wanaume uliolala nao iwe kubwa kuliko hata umri wako mfano una miaka 25 na umeshalala na wanaume 30 tofauti tofauti.
.
.
Endelea tu kuwa mama huruma mtaani na kuwachuna wanaume kwasababu tu unataka kwenda na wakati:
Unataka kutumia simu ya kisasa:
Unataka kuseti nywele za bei kubwa.
Unataka kuvaa nguo za bei ghali, na Kutembelea magari.
we wachune tu.

Na zile kauri zako za dharau pia usiziache "Its
none of ur business"
Ni kweli hainihusu na wala sina mpango na hayo unayofanya.
.
.
Ila utakapoanza kuona inanihusu ni pale utakapoanza kufungua mdomo wako na kusema unatamani mwanaume wa kukuoao akupende hivo hivo ulivyo
Hususani pale utakapokuwa umri wako umeenda na umeshapoteza kila kitu hujabakiwa na chochote cha kusema utaringia

Hapa ndo utaanza kutamani mwanaume yeyote akutongoze uende ukakatalie geto ili tu upate kuolewa.

Pamoja na yote kuolewa ndo utaolewa ila Mungu lazima atakupa mwanaume wa kuendana na ww mwanaume ambaye nae atakuwa alishafanya matukio ya ajabu na yasiyo simulika siku zake za nyuma
Na huyo ndo atakuwa mume wako.
.
.
Baada ya miaka miwili tu ya ndoa yako utakuwa unaanza sasa kujipashapasha kwa kwenda makanisani maana yawezekana ulishapoteza kizazi chako katika harakati za kutoa mimba mfululizo ili tu kuendelea kuufaidi ujana.

Wakati huu ndo utakapoanza kuwatafuta wachungaji na kuhamahama makanisa leo kwa mchungaji huyu kesho kwa yule mara leo kanisa hili kesho lile
Lengo tu kuutafuta muujiza uweze kupata mtoto.
Unasahau kuwa ulishatoa mimba nyingi na ulishatupa watoto kibao.

Utalia sana na kutamani nikuonee huruma
Lakini mm nasema kama ni kulia we lia tu hata machozi ya damu.

Mm ninaowaonea huruma na kuwasikitikia ni wale ambao hawajapata watoto kwa mpango wa mungu na sio wanaojitakia kama ww Ebooo

Nategemea hapa wakunichukia watakuwepo maana ukweli unauma.
Previous article
WAJUA UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HATOKUSAHAU KAMWE    Habari yako ndugu msomaji? Natumaini u mzima na mwenye afya njema. 1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye. 2. Wakati wowote ukipata nafasi muandikie barua au msg kwenye simu mueleze hisia zako kiasi gani unampenda. Kumbuka wasichana hupenda kusikia zaidi kutoka kwa wapenzi wao ni kiasi gani wanapendwa. Haitakiwi iwe tu katika kipindi cha siku ya wapendanao ndio umuoneshe kuwaunampendaMuoneshe msichana ni kiasi gani yeyeni muhimu sana kwako. 3. Busu la ghafla na kumshika mkono wakati mkitembea pamoja itamfanya yeye kujisikia raha zaidi. Na wakati mwingine msuprise kwa kumtembelea mara kwa mara hi humfanya akuone wewe ni mtu muhimu pale usipokuwa naye karibu na kumfanya kukuhitaji zaidi ukiwa naye mbali 4. Tambua mahitaji yake. Uwe msaada kwake kipindi ambacho mpenzi wako amekasirika kuwa pale kwa ajili yake na ukimpooza kwa sauti ya upole na mahaba. Utashangazwa sana na kiasi gani msaada huo umeleta mabadiliko kwake. Hakikisha unamsaidia katika shida zake hapa ndipo kuna tatizo kwa wavulana wengi. Mapenzi si pesa lakini kuna kipindi ambacho pesa huitajika kulinda penzi lako. Si msichana anapokuomba pesa ina maana ana nia ya kukuchuna au amekupendea pesa kuna shida nyingine inabidi akuombe wewe tena kwa kukupima kama utakuwa tayari kumsaidia. 5. Mchukue mpenzi wako out mara nyingine itamfanya ajisikie furaha sana kwa sababu wasichana hupenda enjoyment na boyfriend zao. Hii haitamfanya mpenzi wako tu kuwa na furaha bali itawafanya nyie kwa pamoja kujuana na kufahamiana zaid 6. Kuwa muwazi kwake usimfichejambo linalokuhusu. Msichana hupenda kutoa ushauri kwa mtu ampendaye hivyo unapokuwa muwazi atajisikia kuthaminiwa nawe na kukuona umemuamini 7. Ukijiona upo busy sana usithubutu kuacha japo kumpigia simu mara mbili kwa siku hata kama ukishindwa kumpigia wakati upo ofisini darasani au kwingineko hakikisha unapopata nafasi japo ujumbe mfupi wa kumwambia unampenda. 8. Mkumbatie mara kwa mara katika tukio la kumbatizi kuna jambo kubwa sana hutokea. Si kwake tu hata kwako mvulana. Hali ya joto lenu huwaweka pamoja kifikra hata pale msipokuwa pamoja. 9. Epuka maugomvi na hasira za mara kwa mara ukiwa nae. Mwanamke hupenda ustaarabu kwa mtu ambaye yupo serious naye hivyo ukionesha hasira kabla hata hujamtongoza unaweza ukamkosa msichana hivihivi wasichana huwaogopa wavulana wenye hasira na wagomvi kwa sababu hupenda kubembelezwa. 10. Mdekeze. Msichana anapenda kudeka anaenda kudeka sana na kubembelezwa sana hivyo mvulana ukidekewa usikasirike eti huyu msichana kazidi wewe ndio wakati wako wa kumuonesha msuchana wako unampenda mdekeze mpaka aone aibu kudeka siku nyingine. Wasichana wameumbwa kwa jili ya wavulana ndio maana hudeka hii ndiyo silaha pekee na ya mwisho kumpata msichana hata kamasi wako ni wa rafiki yako unaweza ukatumia silaha hii kumpora msichana huyo kwa mwenzio usipojua kudekeza utaachwa pia.

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4