Sunday, 16 March

Ads Right Header

Buy template blogger

TENDO LA NDOA





Tendo la Ndoa kwa wana ndoa halipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu.
Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeo.
Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe tendo la ndoa, usiwe na ratiba ya tendo la ndoa.
Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili..kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke.
Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako.
Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba kufanya tendo la ndoa, toa aibu....huyo ni mume wako..mmehalalishwa mbele za Mungu, ......maumbile yake ni mali yako pia...
Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui maumbile ya waume zao yakoje.
Ichezee unavyotaka, usiku usilale na nguo...acha ngozi yako laini imguse mumeo, kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD.


  NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4