LIGI KUU BARA KUREJEA MWEZI JUNI, KUCHEZWA BILA MASHABIKI
LIGI KUU BARA KUREJEA MWEZI JUNI, KUCHEZWA BILA MASHABIKI
ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) amesema kuwa wanakwenda kuifanyia kazi kauli ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.
Jana, Aprili 3, Magufuli alisema kuwa anafikiria kurejesha ligi za Tanzania ambazo zilisimamishwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Kasongo amesema Kamati ya Uongozi ya TFF imeazimia kuwa ligi iendelee kulingana na maelekezo ya Serikali na mechi zitachezwa bila mashabiki kuanzia mwezi Juni mwaka huu.
ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) amesema kuwa wanakwenda kuifanyia kazi kauli ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.
Jana, Aprili 3, Magufuli alisema kuwa anafikiria kurejesha ligi za Tanzania ambazo zilisimamishwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Kasongo amesema Kamati ya Uongozi ya TFF imeazimia kuwa ligi iendelee kulingana na maelekezo ya Serikali na mechi zitachezwa bila mashabiki kuanzia mwezi Juni mwaka huu.
Previous article
Next article

Leave Comments
Post a Comment