Bendera yapepea nusu mringoti Kenya kuomboleza kifo cha Rais Nkurunzinza
Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kupeperushwa nusu mlingoti kwa heshima ya Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuanzia kesho Juni 13 hadi siku ya mazishi
Serikali ya #Burundi imetangaza maombolezo ya siku 7, na bendera yao itapepea nusu mlingoti kwa siku zote hizo
Leave Comments
Post a Comment