SIMBA YATIA TIMU MBEYA KAMILIKAMILI
SIMBA YATIA TIMU MBEYA KAMILIKAMILI
KIKOSI cha Simba leo kimewasili salama Mbeya baada ya kuondoka leo Dar es Salaam.
Simba ilikwea pipa asubuhi ili kuwahi kufanya maandalizi dhidi ya mechi mbili zitakazopigwa Mbeya ambapo itaanza Jumatano, Juni 24 dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine.
Simba itawafuata Mbeya City ikiwa na kumbukumbu za ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Mwadui FC kwenye mchezo wao waliocheza Uwanja wa Taifa huku Mbeya City ikiwa na kumbukukumbu ya kufungwa bao 1-0 na Alliance.
KIKOSI cha Simba leo kimewasili salama Mbeya baada ya kuondoka leo Dar es Salaam.
Simba ilikwea pipa asubuhi ili kuwahi kufanya maandalizi dhidi ya mechi mbili zitakazopigwa Mbeya ambapo itaanza Jumatano, Juni 24 dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine.
Simba itawafuata Mbeya City ikiwa na kumbukumbu za ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Mwadui FC kwenye mchezo wao waliocheza Uwanja wa Taifa huku Mbeya City ikiwa na kumbukukumbu ya kufungwa bao 1-0 na Alliance.
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment