Visa vya virusi vya corona vyafikia 457 Uganda
Wizara ya Afya imerekodi visa vipya 40 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 457, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda
Wizara pia imesema madereva 31 ambao ni Wakenya-19, Watanzania-11 na mmoja kutoka Eritrea walikutwa na maambukizi ya #CoronaVirus na kurudishwa katika nchi zao
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment