Ads Right Header

Buy template blogger

Walengwa wanufaika kwa matumizi sahihi ya Fedha za TASAF Katavi



Serikali mkoani Katavi imewataka walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa kupitia TASAF kutumia fursa hiyo kwa ukamilifu kwakufanya kazi kwa bidii ili kutimiza azma ya serikali ya kupambana na umaskini.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Zuberi Homera wakati akikagua na kujionea utekelezaji wa shughuli za mfuko huo wa Maendeleo ya Jamii-TASAF katika Halmashauri ya Nsimbo.

  NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4