Tuesday, 18 March

Ads Right Header

Buy template blogger

JESHI KAMILI LA SIMBA LINALOTARAJIWA KUWAVAA YANGA KESHO TAIFA HILI HAPA, SHAMTE NDANI

JESHI KAMILI LA SIMBA LINALOTARAJIWA KUWAVAA YANGA KESHO TAIFA HILI HAPA, SHAMTE NDANI

KESHO Julai 12 Uwanja wa Taifa wababe wawili Simba na Yanga watakuwa kazini kusaka nafasi ya kupenya hatua ya fainai ya Kombe la Shirikisho.

Simba ilitinga hatua hio baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Azam FC , Julai Mosi, Uwanja wa Taifa.

Kwa mujibu wa gazeti la Championi Jumatano imeandika kikoso ambacho kinapewa nafasi ya kuanza kesho, Uwanja wa Taifa itakuwa namna hii kwa Simba:-

Aishi Manula

Haruna Shamte


Pascal Wawa


Erasto Nyoni


Mohamed Hussein, 'Thabalala'


Luis


Jonas Mkude


Gerson Fraga


Francis Kahata


John Bocco


Clatous Chama

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4