Wednesday, 19 March

Ads Right Header

Buy template blogger

MTAANI KWETU NDANI YA TEMEKE JIJINI DAR, BEI ZA VITU MBALIMBALI

MTAANI KWETU NDANI YA TEMEKE JIJINI DAR, BEI ZA VITU MBALIMBALI
 Bei ya fungu la Mihongo ni shilingi 500 katika soko la Tandika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, kama unavyoonekana pichani.
Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi tv
 Bei ya Viungo mbalimbali katika soko la Tandika wilay ya Temeke jijini Dar es Salaam kama unavyoonekana pichani.
Bei ya  Machungwa shilingi 50  katika soko la Tandika  wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4