Ads Right Header

Buy template blogger

Mgombea Urais wa CCM Rais Dkt. Magufuli ahutubia wananchi wa Geita katika Uwanja wa Kahangalala mkoani Geita

Mgombea Urais wa CCM Rais Dkt. Magufuli ahutubia wananchi wa Geita katika Uwanja wa Kahangalala mkoani Geita



Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Wananchi wa Geita mjini katika mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika leo tarehe 9 Septemba 2020 katika uwanja wa Kalangalala mkoani Geita.

Sehemu ya Wananchi wa Geita mjini wakisikiliza hotuba ya Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika uwanja wa Kalangalala mkoani Geita.


Previous article
Next article

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4