Monday, 17 March

Ads Right Header

Buy template blogger

Ukweli kuhusu wanawake kuzaa nje ya ndoa

Sikuizi kumekuwa na wimbi kubwa la akina baba walezi nikimaanisha mkeo anakubebea mimba kutoka kwa mchepuko wewe unalea
Ukijalibu kufikilia utapata jibu wanawake siyo kosa lao ila ni mwendelezo wa yaliyofanywa na Eva kwenye biblia

Ukisoma biblia Eva alikula tunda na tunda ilikuwa ni kufanya mapenzi alifanya mapenzi akapta ujauzito nje ya mume wake Adam na Adam alilea tu
Kwahiyo na wanawake wa Sasa wanafanya vilevileee na wanaume pia wanafanya vilevileee

Leave Comments

Post a Comment

Ads Post 4