STORY: PENZI GUMU EPISODE 12
Baada ya kuzama kwenye ile kiss ndo napata wazo eti nimfungue zikko mikono maana alifungwa na kamba tu nikahangaika nayo weee kamba ngumu kama dakika tano hivi kelvy huyo.. kaja peke ake akaniangalia akaninyanyua akanitia kofi akasema "Malaya mchafu wee" Zikko akataka kuinuka anashindwa kunyanyuka kelvy akampiga teke la uso nikauliza "kelvy kosa letu nini" akanyoosha kidole kuelekea kwenye kona si ndo tunaona cctv camera kwaiyo kumbe muda wote alipo toka alienda kutuangalia kila kitu ma kiss ma yote kaona akasema "hakuna kitu mtafanya hapa ndani nisione endelea kumfungua bwana ako ila hamuwezi toka hapa usiku mwema" akaondoka mimi nikamfta zikko nikaendelea kumfungua mikono mpaka nilipo weza basi tutakumbatiana tukawa tumekaa tuu tumeegemea ukuta na jengo ni kubwa yani.. basi tulipitiwa usingizi tumekuja kushtuka asubuhi tena kelele za mwanamke ndo zilitustua alia analia huku anaomba msamaha "Kelvy nisamehe kelvy nakuomba" akasukumwa mle ndani akandondoka chini akawa analia tu..
Nilivo muangalia vizuri na sauti yake nikawa nahisi kama nimewahi kumuona pahala nakuja kukumbuka ni yule dada alikua anaongea na simu chooni siku ile kule wakati nakunywa pombe na kelvy.. nikajiuliza imekuaje? Nikamwambia "dada vipi?" Akaniangalia tu.. Nikamwambia "Dada umeletwa huku kwa kosa gani?" Akasema "kwani mpaka uwe na kosa? Akikutamani tu katika kazi yake anakuchukua yani huyu ni muuaji kabisa" nikamuuliza "Kazi gani?" Akasema "Huyu ana miliki mtandano wa picha za ngono kwaiyo akikuona unafaa basi ana kuchukua anakufanyia kazi yake badae ana kuua tena kuna dawa anawapa watu ili wawe na nguvu eh Mungu ninusuru mimi" nikamwambia "wewe umejuaje?" Akasema "Nina shoga yangu ambaye alikua anatembea na huyu bwana sasa bila kumjua kama anajifanya anakupenda ili akutumie shoga yangu aka muamini tu kwa pupa ndo akamteka akamleta huku sasa akafanya yote akampa dawa ili awe na hamu na akampa dawa mwanaume mwingine mfanyakazi wake ili awe na nguvu yani asimamishe bila kuchoka alafu ye ana rekodi lakini Sijui ilikuaje yule kijana akawa amempenda shoga angu akamhurumia hivyo akamtorosha kwa bahati mbaya yule kijana akapigwa risasi ya kichwa rafiki angu akafanikiwa kutoroka ndo akawa ananisimlia nijihadhari nae yeye akahama na mkoa kabisa maana inasemekana ukishafika hapa hutoki salama na ukisha fanya kazi yake kifo kinakuhusu"
Nilimwangalia zikko nikaishiwa na nguvu kabisa nikahisi huu kweli ndo mwisho nilibaki nalia tuu zikko ananibembeleza yule dada akasema "tena kama ni mwanaume anaweza akampa dawa akataka kufanywa yeye kwaiyo akalawitiwa mapaka afe au yeye ampande mwanamke mpaka wote wafe" Mungu wangu nini hiki jamani kilio nililia mno zikko ananituliza anasema "Usijali asia najua kuna njia ya kujikomboa" yaani nililia sana nawaza mwanaume niliemwamini ananifanyia hivi? Na mimi kwanini nilimuamini kwa pupa? Kwaiyo leo ndo kufa kilio kilioooo..
Akaja kelvy na manjeba matatu yameshiba yamejazia si kitoto hofu inaongezeka nahisi kama nataka kuzimia au kufa kabisa naomba tu Mungu kimoyo moyo alipofika akasema "Wow mko very romantic" namwangalia huku nalia tu yani kwa wakati huu hata akiniambia nimlambe miguu nitafanya akasema "zikko zikko zikkomo sasa you'll get to fuck your bitch to your last breath" nikasema Mungu wangu kweli ndo anataka atufanyie hivi yale ma njemba matatu yakamshika zikko kwa nguvu kelvy akatoa kichupa kidogo akamimima akatoa kidonge kimoja anamuwekea zikko mdomo kwa lazima huku kamuwekea bastola kwenye paji la uso.. Alipo maliza akasema haya muacheni akamchukua yule da nae akamlisha kidonge kingine kutoka kwenye kichupa tofauti kisha akasogeza kiti akakaa.. Akasema "mleteni huyo malaya hapa" wakanichukua wakanisimamisha pembeni yake akachukua camera aka weka sehemu ya video akaiacha pale huwezi amini yule dada alianza kuvua nguo mwenyewe bila kuona aibu wala nini akavua zote akawa anamsogelea zikko jamaa kasimama tu kelvy akasema "Huyo atakua hanithi dawa saivi ingeshanya kazi muwekeni pembeni tuna shughuli nae badae kwaiyo wote nyie ni wanawake hahahahaha" zikko akatolewa wale manjemba wakaruhusiwa kumsghulikua yule dada jamani kama Simba kaona nyama walimvamia na kumfanyia kitendo cha kinyama sana mpaka inafikia hatua yule dada analia nakufaaa inatoshaaa mnaniuaaa kelvy anacheka yule dada mpka aliishiwa nguvu kabisa kelvy anarekodi anacheka sana baadae aka waambia wale majamaa basi basi wakamuacha yule dada yule dada analia tu machozi yanamtoka akachukua bastola akamtandika ya kichwa..
Nilishtuka kwa ule mshituko wa bastola na lile tukiona nikapiga kelele kwa uwoga akanifata akasema "Oooh slow down my queen slow down don't panic Okay?" Akawa akinisogelea mimi narudi nyuma naogopa narudi nyuma mpaka nika anguka chini akawa anacheka hapo ana bastola mkononi nawaza mimi nauliwa leo kafika mpka nilipo anguka akachuchumaa akanishika na mabega na kuniambia "usioge my queen"
Nikawa nalia tu kelvy akasema "Sasa ni zamu yetu babe ila sura yangu itakuwa imezibwa yako itakua wazi sawa hahahaha kavivuta zikko anajaribu kufuruka ananyooshewa bastola namuonyesha ishara tu asifanye chochote kanitupa pale kwenye kitandana maana ni li nyumba likubwa mno na linakitanda kwa ajili ya hio akaanza kunivua nguo mimi nalia jamani........
NAFASI MPYA ZA KAZI KWA WENYE ELIMU KUANZIA DARASA LA SABA ,KIDATO CHA NNE,CERTIFICATE,DIPLOMA,DEGREE NA KUENDELEA ZIPATE KUPITIA AJIRA FORUM APP 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Previous article
Next article
Leave Comments
Post a Comment